Mwl.JULIUS THEOPHIL MMBAGA


 





Mimi ni Mkatoliki:Namshukuru Mungu Muumba Mbingu na nchi na vitu vyote vinavyoonekana kwa namna alivyoweza kubadilisha maisha yangu na familia yangu na kunifanya nimtumikiye kama chombo chake kwa ajili ya watu wenye shida mbalimbali. Nashuhudia huruma ya Mungu kwa watu wenye shida mbalimbali na wanaomtumaini Mungu jinsi wanavyopona na kumrudisha Mungu sifa na utukufu. Ni mwaka wa tano sasa nafanya huduma za uponyaji na ufunguliwaji.Asante Yesu kwa Uwepo wako ndani fumbo takatifu la Mkate na divai(EKARISTI TAKATIFU). Asante Yesu kwa kunitumia tu kama chombo chako,ukiwa na imani kwa Mungu hakuna kinachoshindika, nafanya maombia pia kwa njia ya simu [0766500747] na Mungu hutenda, Mungu akubariki sana.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

JINSI YA KUSALI ROSARI TAKATIFU YA BIKRA MARIA

MALAIKA MKUU MT. MICHAEL UTULINDE KATIKA VITA

FAHAMU JINSI YA KUOMBA SALA YA VITA

SALA KWA AJILI YA KUFUNGULIWA KUTOKA KATIKA NGUVU ZA GIZA

ROZARI YA KUWAOMBEA MAREHEMU TOHARANI

HISTORIA YA MAISHA YA BIKIRA MARIA