ROSARI YA FAMILIA

 ROSARI YA FAMILIA

Tumia Rozari ya kawaida

1.   Anza: K. Ee Mungu unielekezee msaada,

         W. Ee Bwana unisaidie hima.

Atukuzwe Baba……………………

2.   Penye Msalaba:  Kanuni ya Imani………………

3.   Punje kubwa   :  Baba yetu…………………

4.   Punje 3 ndogo :  Salamu Maria……….. x3

5.   Punje kubwa:     Atukuzwe Baba…………

6.  Kwenye Tendo:

K. Yesu, Maria na Yosefu ninawapenda;

W. Dumisha mapendo na amani katika familia

Yangu na familia zote ulimwenguni.

7.   Punje 10 ndogo:

K. Yesu, Maria na Yosefu ninawapenda;

W. fanya familia yangu iwe takatifu kama familia ya Nazareti

 

8.   Malizia: Yesu na Maria na Yosefu ninawapenda, ninawaaminisha famila yangu. Ninaomba muwajalie wanafamilia yangu wote katika mwisho wa maisha yao, wajue kuishi pamoja nanyi huko Mbinguni. Amina.

PIA UNAWEZA KUTAZAMA VIDEO HIIZI KWA MAFUNDISHO ZAIDI 




Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

FAHAMU JINSI YA KUOMBA SALA YA VITA

MALAIKA MKUU MT. MICHAEL UTULINDE KATIKA VITA

SALA KWA AJILI YA KUFUNGULIWA KUTOKA KATIKA NGUVU ZA GIZA

CHANGAMOTO YA NDOTO KATIKA ULIMWENGU WA ROHO

IBADA KWA MOYO MTAKATIFU WA YESU

JINSI YA KUSALI ROSARI TAKATIFU YA BIKRA MARIA