NOVENA KWA MAMA BIKIRA MARIA MPALIZWA MBINGUNI v SEKWENSIA 1. Uje Roho Mtakatifu, Tuangaze toka mbinguni, Roho zetu kwa mwangao. 2. Uje Baba wa maskini, Uje mtoa wa vipaji, Uje mwanga wa mioyo. 3. Ee Mfariji mwema sana, Ee rafiki mwanana, Ee raha mustarehe. 4. Kwenye kazi u pumziko, Kwenye joto, burudisho, U mfutaji wa machozi. 5. Ee mwanga wenye heri, Uwajaze waamini, Neema yako mioyoni. 6. Bila nguvu yako wewe, Mwanadamu hana kitu, Kwake yote yana kosa. 7. Osha machafuko yetu, Panyeshee pakavu petu, Na kuponya majeraha. 8. Ulegeze ukaidi, Pasha moto wa ubaridi, Nyosha upotevu wote. 9. Wape waumini wako, Wenye tumaini kwako, Paji zako zote saba. 10. Wape tuz...
mungu akubariki sana naomba uniunge kwenye grpu lako la wasp kwa ajili ya maombi tafadhali mtmish no 0659646812
JibuFutaAsante,tuko pamoja nitakuunga naomba jina lako pia
Futamaombi yako yananibariki sana mtumishi nisaidie,
JibuFutaUkipata muda nipigiye private ili tuongee changamoto unazopitia na tuzidi kuimarishana kiimani zaidi 0766500747
JibuFuta