JINSI YA KUSALI ROSARI TAKATIFU YA BIKRA MARIA KANUNI ZA IMANI 1. Nasadiki kwa Mungu Baba Mwenyezi muumba mbingu na dunia na kwa Yesu Kristo mwanaye wa pekee, Bwana wetu, aliyetungwa kwa uwezo wa roho mtakatifu akazaliwa na Bikra Maria akateswa kwa mamlaka ya Polystyo Pilato, akasulubiwa akafa, akazikwa akashukia kuzimu siku ya tatu akafufuka katika wafu akapaa mbinguni, amekaa kuume kwa Mungu baba Mwenyezi toka huko atakuja kwa utukufu kuwahukumu wazima na wafu, Nasadiki kwa roho Mtakatifu, Kanisa takatifu Katoliki, ushirika wa watakatifu, maondoleo ya dhambi, ufufuko wa miili na uzima wa milele ijayo Amina. 2. BABA YETU Baba Yetu uliyembinguni jina lako litukuzwe, ufalme wako ufike utakalo lifanyike duniani kama mbingui utupe leo mkate wetu wa kila siku, utusamehe makosa yetu, kama tunavyo wasamehe na sisi waliotukosea usitutiye katika kishawishi lakini utuokoe maovuni Amina. 3. SALAMU MARIA Salamu Maria ume...
Maoni
Chapisha Maoni