Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Julai, 2023

Mwl.JULIUS THEOPHIL MMBAGA

Picha
  Mimi ni Mkatoliki:Namshukuru Mungu Muumba Mbingu na nchi na vitu vyote vinavyoonekana kwa namna alivyoweza kubadilisha maisha yangu na familia yangu na kunifanya nimtumikiye kama chombo chake kwa ajili ya watu wenye shida mbalimbali. Nashuhudia huruma ya Mungu kwa watu wenye shida mbalimbali na wanaomtumaini Mungu jinsi wanavyopona na kumrudisha Mungu sifa na utukufu. Ni mwaka wa tano sasa nafanya huduma za uponyaji na ufunguliwaji.Asante Yesu kwa Uwepo wako ndani fumbo takatifu la Mkate na divai(EKARISTI TAKATIFU). Asante Yesu kwa kunitumia tu kama chombo chako,ukiwa na imani kwa Mungu hakuna kinachoshindika, nafanya maombia pia kwa njia ya simu [0766500747] na Mungu hutenda, Mungu akubariki sana.